-
Waroma 7:7Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
7 Basi, tutasema nini? Je, Sheria ni dhambi? Hilo lisipate kuwa hivyo kamwe! Kwa kweli singalikuja kujua dhambi kama isingalikuwa kwa sababu ya Sheria; na, kwa kielelezo, mimi singalijua tamaa kama Sheria haingalisema: “Usitamani.”
-