Methali 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Moyo wenye shangwe huchangamsha sura,+ lakini kwa sababu ya maumivu ya moyo roho hupata pigo.+ Methali 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Roho ya mwanadamu inaweza kuvumilia ugonjwa wake;+ lakini ni nani anayeweza kuvumilia roho iliyopondeka?+
14 Roho ya mwanadamu inaweza kuvumilia ugonjwa wake;+ lakini ni nani anayeweza kuvumilia roho iliyopondeka?+