Ayubu 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 akasema:“Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,+Nami nitarudi huko nikiwa uchi.+Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua.+Jina la Yehova na liendelee kubarikiwa.”+ 2 Wakorintho 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo hatufi moyo, lakini hata ikiwa mtu tuliye kwa nje anachakaa, hakika mtu tuliye kwa ndani+ anafanywa upya siku baada ya siku. 2 Wakorintho 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na matusi, na hali za uhitaji, na mateso na magumu, kwa ajili ya Kristo. Kwa maana ninapokuwa dhaifu, ndipo ninapokuwa mwenye nguvu.+
21 akasema:“Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,+Nami nitarudi huko nikiwa uchi.+Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua.+Jina la Yehova na liendelee kubarikiwa.”+
16 Kwa hiyo hatufi moyo, lakini hata ikiwa mtu tuliye kwa nje anachakaa, hakika mtu tuliye kwa ndani+ anafanywa upya siku baada ya siku.
10 Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na matusi, na hali za uhitaji, na mateso na magumu, kwa ajili ya Kristo. Kwa maana ninapokuwa dhaifu, ndipo ninapokuwa mwenye nguvu.+