19 Pia kila mwanadamu ambaye Mungu amempa utajiri na mali,+ amempa hata na uwezo wa kula katika hizo+ na kuchukua fungu lake na kushangilia katika kazi yake ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+
17 Kila zawadi njema+ na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ kwa maana hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ naye habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.+