Mathayo 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo, ikiwa ninyi, mjapokuwa waovu,+ mnajua jinsi ya kuwapa watoto wenu zawadi zilizo nzuri, je, Baba yenu aliye mbinguni hatawapa hata zaidi vitu vyema+ wale wanaomwomba? Yohana 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yohana akajibu, akasema: “Mtu hawezi kupokea hata kitu kimoja isipokuwa awe amepewa kutoka mbinguni.+
11 Kwa hiyo, ikiwa ninyi, mjapokuwa waovu,+ mnajua jinsi ya kuwapa watoto wenu zawadi zilizo nzuri, je, Baba yenu aliye mbinguni hatawapa hata zaidi vitu vyema+ wale wanaomwomba?
27 Yohana akajibu, akasema: “Mtu hawezi kupokea hata kitu kimoja isipokuwa awe amepewa kutoka mbinguni.+