Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo Mungu akazidi kuchukua mifugo ya baba yenu na kunipa mimi.+

  • Kumbukumbu la Torati 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 na nyumba zilizojaa vitu vyote vizuri na ambazo hukuzijaza, na mashimo ya maji yaliyochimbwa ambayo hukuyachimba, mashamba ya mizabibu na mizeituni ambayo hukuipanda, nawe utakapokuwa umekula na kushiba,+

  • 1 Wafalme 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na pia nitakupa yale ambayo hukuomba,+ utajiri+ na utukufu pia, hivi kwamba hatakuwapo yeyote kati ya wafalme aliye kama wewe, siku zako zote.+

  • Ayubu 42:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye Yehova akaubariki+ mwisho wa Ayubu baadaye kuliko mwanzo wake,+ hivi kwamba akawa na kondoo kumi na nne elfu na ngamia elfu sita na jozi elfu moja za ng’ombe na punda-jike elfu moja.

  • 1 Timotheo 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Uwape maagizo wale walio matajiri+ katika mfumo wa mambo wa sasa wasitake makuu,+ na waweke tumaini lao, si katika utajiri usio hakika,+ bali katika Mungu, ambaye hutupa sisi vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki