Zaburi 84:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+ Mathayo 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+ Waefeso 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi kwa yeye anayeweza, kulingana na nguvu zake zinazotenda+ ndani yetu, kufanya kwa wingi zaidi kupita mambo yote tunayoomba au tunayofikiri,+
11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+
33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+
20 Basi kwa yeye anayeweza, kulingana na nguvu zake zinazotenda+ ndani yetu, kufanya kwa wingi zaidi kupita mambo yote tunayoomba au tunayofikiri,+