Ayubu 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na mifugo+ yake ilikuwa ni kondoo elfu saba na ngamia elfu tatu na jozi mia tano za ng’ombe na punda-jike mia tano, pamoja na kundi kubwa sana la watumishi; na mtu huyo akawa mkuu kuliko watu wote wa Mashariki.+ Mhubiri 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwisho wa jambo ni bora kuliko mwanzo wake.+ Mtu mwenye subira ni bora kuliko mwenye roho ya majivuno.+
3 Na mifugo+ yake ilikuwa ni kondoo elfu saba na ngamia elfu tatu na jozi mia tano za ng’ombe na punda-jike mia tano, pamoja na kundi kubwa sana la watumishi; na mtu huyo akawa mkuu kuliko watu wote wa Mashariki.+
8 Mwisho wa jambo ni bora kuliko mwanzo wake.+ Mtu mwenye subira ni bora kuliko mwenye roho ya majivuno.+