Zaburi 138:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova yuko juu, hata hivyo yeye humwona mnyenyekevu;+Lakini yeye anamjua mwenye kiburi kutoka mbali tu.+ Methali 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa sababu ya kimbelembele mtu husababisha tu pambano,+ lakini wale wanaoshauriana pamoja wana hekima.+ Wagalatia 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana yeyote akifikiri kuwa yeye ni kitu wakati yeye si kitu,+ anaidanganya akili yake mwenyewe. Yakobo 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Akina ndugu, wachukueni manabii+ kuwa kielelezo+ cha kupatwa na uovu+ na kuonyesha subira,+ wale waliosema katika jina la Yehova.+ 1 Petro 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+
6 Kwa maana Yehova yuko juu, hata hivyo yeye humwona mnyenyekevu;+Lakini yeye anamjua mwenye kiburi kutoka mbali tu.+
10 Kwa sababu ya kimbelembele mtu husababisha tu pambano,+ lakini wale wanaoshauriana pamoja wana hekima.+
3 Kwa maana yeyote akifikiri kuwa yeye ni kitu wakati yeye si kitu,+ anaidanganya akili yake mwenyewe.
10 Akina ndugu, wachukueni manabii+ kuwa kielelezo+ cha kupatwa na uovu+ na kuonyesha subira,+ wale waliosema katika jina la Yehova.+
5 Vivyo hivyo, enyi vijana, jitiisheni+ kwa wanaume wazee. Lakini ninyi nyote jifungeni unyenyekevu wa akili kuelekeana ninyi wenyewe,+ kwa sababu Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwapa wanyenyekevu fadhili zisizostahiliwa.+