8Ndipo watu wa Efraimu wakamwambia: “Umetutendea jambo gani hili kwa kukosa kutuita ulipotoka kwenda kupigana na Midiani?”+ Nao wakatafuta kwa ukali kugombana naye.+
12Ndipo watu wa Efraimu wakakusanywa pamoja na kuvuka kuelekea kaskazini, nao wakamwambia Yeftha: “Kwa nini ulivuka kupigana na wana wa Amoni, nawe hukutuita twende pamoja nawe?+ Nyumba yako tutaiteketeza juu yako kwa moto.”+