Waamuzi 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sasa Yehova akamwambia Gideoni: “Watu ulio nao ni wengi mno nisiweze kuwatia Midiani mkononi mwao.+ Labda Israeli watajivuna+ dhidi yangu, wakisema, ‘Mkono wangu ndio ulioniokoa.’+ Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+ Methali 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kiburi hutangulia kuanguka,+ na roho ya majivuno hutangulia kujikwaa.+
2 Sasa Yehova akamwambia Gideoni: “Watu ulio nao ni wengi mno nisiweze kuwatia Midiani mkononi mwao.+ Labda Israeli watajivuna+ dhidi yangu, wakisema, ‘Mkono wangu ndio ulioniokoa.’+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+