Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na kutaniko hili lote watajua kwamba Yehova haokoi kwa upanga wala kwa mkuki,+ kwa sababu vita ni vya Yehova,+ naye atawatia ninyi mkononi mwetu.”+

  • Zaburi 44:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana ulituokoa kutoka kwa wapinzani wetu,+

      Nawe ukawafanya waone aibu wale wanaotuchukia vikali.+

  • Isaya 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana yeye amesema, ‘Kwa nguvu za mkono wangu hakika nitatenda,+ na kwa hekima yangu, kwa maana nina uelewaji; nami nitaiondoa mipaka ya vikundi vya watu,+ nami hakika nitavipora vitu vyao vilivyowekwa akiba,+ nami nitawashusha wakaaji kama mwenye nguvu.+

  • 1 Wakorintho 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 ili mwili wowote usijisifu+ machoni pa Mungu.

  • 2 Wakorintho 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, sisi tuna hazina+ hii katika vyombo+ vya udongo,+ ili nguvu+ zinazopita zile za kawaida ziwe za Mungu+ na si zile za kutoka ndani yetu wenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki