Zaburi 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwanadamu anayeweza kufa+ ni nini hivi kwamba umweke akilini,+Na mwana wa mtu wa udongo hivi kwamba umtunze?+ Isaya 64:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na sasa, Ee Yehova, wewe ni Baba yetu.+ Sisi ni udongo,+ nawe ni Mfinyanzi+ wetu; nasi sote ni kazi ya mkono wako.+ 1 Wakorintho 15:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Mtu wa kwanza ni wa kutoka duniani na amefanywa kwa mavumbi;+ mtu wa pili ni wa kutoka mbinguni.+
4 Mwanadamu anayeweza kufa+ ni nini hivi kwamba umweke akilini,+Na mwana wa mtu wa udongo hivi kwamba umtunze?+
8 Na sasa, Ee Yehova, wewe ni Baba yetu.+ Sisi ni udongo,+ nawe ni Mfinyanzi+ wetu; nasi sote ni kazi ya mkono wako.+