Ayubu 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mikono yako mwenyewe imeniunda hivi kwamba ikanifanyiza mimi+Mzima pande zote, na bado unataka kunimeza. Zaburi 100:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+
8 Mikono yako mwenyewe imeniunda hivi kwamba ikanifanyiza mimi+Mzima pande zote, na bado unataka kunimeza.
3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+