Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mikono yako mwenyewe imeniunda hivi kwamba ikanifanyiza mimi+

      Mzima pande zote, na bado unataka kunimeza.

  • Zaburi 95:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ingieni, tuabudu na kuinama;+

      Na tupige magoti+ mbele za Yehova Mtengenezaji wetu.+

  • Zaburi 119:73
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  73 Mikono yako mwenyewe imenifanya, nayo ikaniweka imara.+

      Unifanye nielewe, ili nipate kujifunza amri zako.+

  • Zaburi 139:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana wewe mwenyewe uliumba figo zangu;+

      Wewe uliniweka nikiwa nimekingwa katika tumbo la mama yangu.+

  • Zaburi 149:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Israeli na ashangilie katika Mtengenezaji Mkuu wake,+

      Wana wa Sayuni—na wamshangilie Mfalme wao.+

  • Malaki 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, sisi hatukuumbwa na Mungu mmoja?+ Kwa nini basi tunatendeana kwa hila,+ katika kutia unajisi agano la mababu zetu?+

  • Matendo 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, akiwa, kama Huyu alivyo, Bwana wa mbingu na dunia,+ hakai katika mahekalu yaliyofanywa kwa mikono,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki