Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mikono yako mwenyewe imeniunda hivi kwamba ikanifanyiza mimi+

      Mzima pande zote, na bado unataka kunimeza.

  • Ayubu 31:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Je, Yeye aliyenifanya mimi tumboni hakumfanya yeye,+

      Na je, si yeye Mmoja tu aliyetufanya sisi katika tumbo la uzazi?

  • Zaburi 22:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nimetupwa kwako kutoka tumbo la uzazi;+

      Kutoka katika tumbo la mama yangu wewe umekuwa Mungu wangu.+

  • Isaya 46:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nisikilize mimi, Ee nyumba ya Yakobo, nanyi nyote mnaobaki wa nyumba ya Israeli,+ ninyi niliowachukua tangu tumboni, ambao mmechukuliwa toka tumbo la uzazi.+

  • Yohana 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nikodemo akamwambia: “Mtu anawezaje kuzaliwa akiwa mzee? Je, anaweza kuingia katika tumbo la uzazi la mama yake mara ya pili na kuzaliwa?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki