Ayubu 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yupo Yeye ambaye hajaonyesha upendeleo kwa wakuuWala hakumwonyesha mwenye cheo ufikirio kuliko yule wa hali ya chini,+Kwa maana wao wote ni kazi ya mikono yake.+ Zaburi 139:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Macho yako yalikiona kiini-tete changu,+Na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa,Kuhusiana na siku ambazo zilifanyizwa+Na hakukuwako hata moja kati ya hizo. Methali 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yeye anayempunja mtu wa hali ya chini amemletea shutuma Mtengenezaji wake,+ lakini anayemwonyesha maskini kibali anamtukuza Yeye.+ Methali 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mtu tajiri na maskini wamekutana.+ Mtengenezaji wao wote ni Yehova.+ Malaki 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, sisi hatukuumbwa na Mungu mmoja?+ Kwa nini basi tunatendeana kwa hila,+ katika kutia unajisi agano la mababu zetu?+
19 Yupo Yeye ambaye hajaonyesha upendeleo kwa wakuuWala hakumwonyesha mwenye cheo ufikirio kuliko yule wa hali ya chini,+Kwa maana wao wote ni kazi ya mikono yake.+
16 Macho yako yalikiona kiini-tete changu,+Na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa,Kuhusiana na siku ambazo zilifanyizwa+Na hakukuwako hata moja kati ya hizo.
31 Yeye anayempunja mtu wa hali ya chini amemletea shutuma Mtengenezaji wake,+ lakini anayemwonyesha maskini kibali anamtukuza Yeye.+
10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, sisi hatukuumbwa na Mungu mmoja?+ Kwa nini basi tunatendeana kwa hila,+ katika kutia unajisi agano la mababu zetu?+