Mathayo 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yesu akamwambia: “Ikiwa unataka kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali zako na uwape maskini nawe utakuwa na hazina mbinguni,+ kisha uje uwe mfuasi wangu.”+ Luka 18:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Na mara moja akapata kuona tena,+ naye akaanza kumfuata, akimtukuza Mungu.+ Pia, watu wote, walipoona hilo, wakamsifu Mungu.
21 Yesu akamwambia: “Ikiwa unataka kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali zako na uwape maskini nawe utakuwa na hazina mbinguni,+ kisha uje uwe mfuasi wangu.”+
43 Na mara moja akapata kuona tena,+ naye akaanza kumfuata, akimtukuza Mungu.+ Pia, watu wote, walipoona hilo, wakamsifu Mungu.