Luka 5:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo wote wakashangilia,+ nao wakaanza kumtukuza Mungu, wakaogopa, wakisema: “Tumeona mambo mageni leo!”+ Matendo 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo, walipokuwa wamewatisha zaidi, wakawafungua, kwa kuwa hawakupata msingi wowote wa kuwaadhibu na kwa sababu ya watu,+ kwa sababu wote walikuwa wakimtukuza Mungu juu ya jambo lililokuwa limetukia; Wagalatia 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa hiyo wakaanza kumtukuza+ Mungu kwa sababu yangu.
26 Ndipo wote wakashangilia,+ nao wakaanza kumtukuza Mungu, wakaogopa, wakisema: “Tumeona mambo mageni leo!”+
21 Kwa hiyo, walipokuwa wamewatisha zaidi, wakawafungua, kwa kuwa hawakupata msingi wowote wa kuwaadhibu na kwa sababu ya watu,+ kwa sababu wote walikuwa wakimtukuza Mungu juu ya jambo lililokuwa limetukia;