Ayubu 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 akasema:“Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,+Nami nitarudi huko nikiwa uchi.+Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua.+Jina la Yehova na liendelee kubarikiwa.”+ Ayubu 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi kwa nini ulinitoa nje ya tumbo la uzazi?+Kama ningekata pumzi, ili hata jicho lisinione, Zaburi 127:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Wana ni urithi kutoka kwa Yehova;+Uzao wa tumbo ni thawabu.+
21 akasema:“Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,+Nami nitarudi huko nikiwa uchi.+Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua.+Jina la Yehova na liendelee kubarikiwa.”+
18 Basi kwa nini ulinitoa nje ya tumbo la uzazi?+Kama ningekata pumzi, ili hata jicho lisinione, Zaburi 127:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Wana ni urithi kutoka kwa Yehova;+Uzao wa tumbo ni thawabu.+