Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 akasema:

      “Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,+

      Nami nitarudi huko nikiwa uchi.+

      Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua.+

      Jina la Yehova na liendelee kubarikiwa.”+

  • Ayubu 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi kwa nini ulinitoa nje ya tumbo la uzazi?+

      Kama ningekata pumzi, ili hata jicho lisinione,

  • Zaburi 127:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Tazama! Wana ni urithi kutoka kwa Yehova;+

      Uzao wa tumbo ni thawabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki