Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 30:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo hasira ya Yakobo ikawaka juu ya Raheli naye akasema:+ “Je, mimi niko badala ya Mungu, ambaye amekuzuilia uzao wa tumbo?”+

  • Mwanzo 41:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Naye yule wa pili akamwita jina lake Efraimu,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mungu ameniwezesha kuwa na uzao katika nchi ya taabu yangu.”+

  • Mambo ya Walawi 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Nami nitageuka kwenu+ na kuwawezesha kuzaana na kuwazidisha ninyi,+ nami nitatimiza agano langu pamoja nanyi.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Utabarikiwa uzao wa tumbo+ lako na mazao ya udongo wako na uzao wa mnyama wako wa kufugwa,+ mtoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako.+

  • Yoshua 24:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Baada ya muda nikamchukua Abrahamu+ babu yenu kutoka ng’ambo ile nyingine ya Mto,+ nikamtembeza katika nchi yote ya Kanaani na kuufanya uzao wake kuwa mwingi.+ Basi nikampa Isaka.+

  • Yoshua 24:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo Isaka nikampa Yakobo na Esau.+ Baadaye Esau nikampa Mlima Seiri ili aumiliki;+ na Yakobo na wanawe wakashuka Misri.+

  • Zaburi 128:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mke wako atakuwa kama mzabibu unaozaa matunda+

      Katika sehemu za ndani kabisa za nyumba yako.

      Wana wako watakuwa kama miche ya mizeituni+ kuizunguka meza yako pande zote.

  • Isaya 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tazama! Mimi na watoto ambao Yehova amenipa+ ni kama ishara+ na kama miujiza katika Israeli kutoka kwa Yehova wa majeshi, anayekaa katika Mlima Sayuni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki