3 “‘Baada ya muda nikamchukua Abrahamu+ babu yenu kutoka ng’ambo ile nyingine ya Mto,+ nikamtembeza katika nchi yote ya Kanaani na kuufanya uzao wake kuwa mwingi.+ Basi nikampa Isaka.+
18 Tazama! Mimi na watoto ambao Yehova amenipa+ ni kama ishara+ na kama miujiza katika Israeli kutoka kwa Yehova wa majeshi, anayekaa katika Mlima Sayuni.+