14 Kwa hiyo Yehova mwenyewe atawapa ninyi ishara: Tazama! Mwanamwali+ kwa kweli atapata mimba,+ naye atazaa mwana,+ naye hakika atamwita jina lake Imanueli.
9 Kwa maana inaonekana kwangu kwamba Mungu ametuweka sisi mitume mwisho katika wonyesho wa hadharani+ kama watu waliowekewa kifo,+ kwa sababu tumekuwa tamasha+ kwa ulimwengu, na kwa malaika,+ na kwa wanadamu.+