Mathayo 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Tazama! Bikira+ atapata mimba naye atazaa mwana, nao watamwita jina lake Imanueli,”+ ambalo linapotafsiriwa humaanisha, “Mungu Yuko Pamoja Nasi.”+ Luka 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Malaika akamjibu akamwambia: “Roho takatifu+ itakuja juu yako, na nguvu za Aliye Juu Zaidi zitakufunika. Kwa sababu hiyo pia kile kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu,+ Mwana wa Mungu.+
23 “Tazama! Bikira+ atapata mimba naye atazaa mwana, nao watamwita jina lake Imanueli,”+ ambalo linapotafsiriwa humaanisha, “Mungu Yuko Pamoja Nasi.”+
35 Malaika akamjibu akamwambia: “Roho takatifu+ itakuja juu yako, na nguvu za Aliye Juu Zaidi zitakufunika. Kwa sababu hiyo pia kile kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu,+ Mwana wa Mungu.+