31 Lakini haya yameandikwa+ ili mpate kuamini kwamba Yesu ndiye Kristo Mwana wa Mungu, na kwamba, kwa sababu ya kuamini,+ mpate kuwa na uzima kupitia jina lake.
4 lakini ambaye kwa nguvu+ alitangazwa kuwa Mwana wa Mungu+ kulingana na roho+ ya utakatifu kwa njia ya ufufuo kutoka kwa wafu+—ndiyo, Yesu Kristo Bwana wetu,