Zaburi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana hutaiacha nafsi yangu katika Kaburi.*+Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.+ Matendo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 lakini mlimuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, uhakika ambao sisi ni mashahidi+ wake. Matendo 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 kwamba Mungu ameitimiza kabisa kwetu sisi tulio watoto wao kwa kuwa alimfufua Yesu;+ hata kama vile ambavyo imeandikwa katika zaburi ya pili, ‘Wewe ni mwanangu, mimi nimekuwa Baba yako leo.’+
15 lakini mlimuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, uhakika ambao sisi ni mashahidi+ wake.
33 kwamba Mungu ameitimiza kabisa kwetu sisi tulio watoto wao kwa kuwa alimfufua Yesu;+ hata kama vile ambavyo imeandikwa katika zaburi ya pili, ‘Wewe ni mwanangu, mimi nimekuwa Baba yako leo.’+