Matendo 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba+ na msamaha wa dhambi.+ Waebrania 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana ilifaa kwa yule ambaye kwa ajili yake vitu vyote vipo+ na kupitia kwake vitu vyote vipo, katika kuleta wana wengi kwenye utukufu,+ amfanye Wakili Mkuu+ wa wokovu wao kuwa mkamilifu kupitia mateso.+
31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba+ na msamaha wa dhambi.+
10 Kwa maana ilifaa kwa yule ambaye kwa ajili yake vitu vyote vipo+ na kupitia kwake vitu vyote vipo, katika kuleta wana wengi kwenye utukufu,+ amfanye Wakili Mkuu+ wa wokovu wao kuwa mkamilifu kupitia mateso.+