Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba+ na msamaha wa dhambi.+

  • 1 Wakorintho 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa kweli kwetu sisi kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake, na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana+ mmoja, Yesu Kristo,+ ambaye vitu vyote vimepitia kwake,+ na sisi kupitia yeye.

  • Waebrania 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 huku tukimtazama kwa makini Wakili Mkuu+ na Mkamilishaji wa imani yetu,+ Yesu. Kwa ajili ya shangwe iliyowekwa mbele yake, yeye alivumilia+ mti wa mateso, akaidharau aibu, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki