Luka 24:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Je, haikuwa lazima Kristo kupatwa+ na mambo haya na kuingia katika utukufu wake?”+ Waebrania 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ijapokuwa yeye alikuwa Mwana, alijifunza kutii kutokana na mambo aliyoteseka;+