12 kwa sababu tuna kushindana mweleka,+ si juu ya damu na mwili, bali juu ya serikali,+ juu ya mamlaka,+ juu ya watawala wa ulimwengu+ wa giza hili, juu ya majeshi ya roho waovu+ katika mahali pa kimbingu.
12 Ilifunuliwa kwao kwamba hawakuwa wakijihudumia wenyewe,+ bali walikuwa wakiwahudumia ninyi mambo ambayo sasa mmetangaziwa+ kupitia wale ambao wamewatangazia ninyi habari njema kwa roho takatifu+ iliyotumwa kutoka mbinguni. Malaika wanatamani kuchungulia ndani ya mambo hayo.+