9 kama wasiojulikana na bado ni wenye kutambuliwa,+ kama wanaokufa na bado, tazama! tunaishi,+ kama wanaotiwa nidhamu+ na bado hatukabidhiwi kwenye kifo,+
9 Naye alipofungua muhuri wa tano, nikaona chini ya madhabahu+ nafsi+ za wale waliouawa+ kwa sababu ya neno la Mungu na kwa sababu ya kazi ya ushahidi+ waliyokuwa nayo.