1 Samweli 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 lakini akampa Hana fungu moja. Hata hivyo, alimpenda Hana.+ Lakini Yehova alikuwa amefunga tumbo lake la uzazi.+ Zaburi 127:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Wana ni urithi kutoka kwa Yehova;+Uzao wa tumbo ni thawabu.+ Hosea 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na kwa habari ya Efraimu, utukufu wao hurukia mbali kama kiumbe kinachoruka,+ hata kusiwe na kuzaa, wala tumbo lenye mimba wala kuchukua mimba.+
5 lakini akampa Hana fungu moja. Hata hivyo, alimpenda Hana.+ Lakini Yehova alikuwa amefunga tumbo lake la uzazi.+
11 Na kwa habari ya Efraimu, utukufu wao hurukia mbali kama kiumbe kinachoruka,+ hata kusiwe na kuzaa, wala tumbo lenye mimba wala kuchukua mimba.+