Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 33:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kisha akainua macho yake akaona wale wanawake na wale watoto na kusema: “Hawa walio pamoja nawe ni nani?” naye akasema: “Watoto ambao Mungu amemkubalia mtumishi wako kuwa nao.”+

  • Mwanzo 48:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye akaniambia, ‘Tazama, nakufanya uzae,+ nami nitakufanya kuwa wengi na nitakufanya uwe kutaniko la vikundi vya watu,+ nami nitaupa uzao wako baada yako nchi hii iwe miliki mpaka wakati usio na kipimo.’+

  • 1 Samweli 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi Yehova akageuza fikira zake kwa Hana,+ akachukua mimba, akazaa wana watatu na binti wawili.+ Na yule mvulana Samweli akaendelea kukua akiwa na Yehova.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na kati ya wanangu wote (kwa maana wana ambao Yehova amenipa ni wengi)+ ndipo akamchagua Sulemani+ mwanangu aketi kwenye kiti cha ufalme+ wa Yehova juu ya Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki