Mwanzo 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+ Kumbukumbu la Torati 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+Alipowatenganisha wana wa Adamu,+Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+ Amosi 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “ ‘Nami nitawapanda juu ya nchi yao, wala hawatang’olewa tena kutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ Yehova Mungu wako amesema.” Matendo 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na bado hakumpa urithi wowote ndani yake, hapana, hata upana wa wayo mmoja wa mguu;+ bali aliahidi kumpa hiyo kuwa miliki,+ na uzao wake baada yake,+ alipokuwa bado hana mtoto.+
13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+
8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+Alipowatenganisha wana wa Adamu,+Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+
15 “ ‘Nami nitawapanda juu ya nchi yao, wala hawatang’olewa tena kutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ Yehova Mungu wako amesema.”
5 Na bado hakumpa urithi wowote ndani yake, hapana, hata upana wa wayo mmoja wa mguu;+ bali aliahidi kumpa hiyo kuwa miliki,+ na uzao wake baada yake,+ alipokuwa bado hana mtoto.+