Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 28:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+

      “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+

      Alipowatenganisha wana wa Adamu,+

      Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+

      Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+

  • Amosi 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “ ‘Nami nitawapanda juu ya nchi yao, wala hawatang’olewa tena kutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ Yehova Mungu wako amesema.”

  • Matendo 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na bado hakumpa urithi wowote ndani yake, hapana, hata upana wa wayo mmoja wa mguu;+ bali aliahidi kumpa hiyo kuwa miliki,+ na uzao wake baada yake,+ alipokuwa bado hana mtoto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki