Mwanzo 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+ Kutoka 23:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Nami nitauweka mpaka wako kutoka Bahari Nyekundu hadi bahari ya Wafilisti na kutoka nyikani hadi kwenye Mto;+ kwa sababu nitawaweka wakaaji wa nchi hiyo mikononi mwenu, na hakika wewe utawafukuzia mbali kutoka mbele yako.+ Zaburi 105:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Na hatua kwa hatua akawapa nchi za mataifa,+Nao wakaendelea kumiliki kazi ngumu ya vikundi vya mataifa,+
18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+
31 “Nami nitauweka mpaka wako kutoka Bahari Nyekundu hadi bahari ya Wafilisti na kutoka nyikani hadi kwenye Mto;+ kwa sababu nitawaweka wakaaji wa nchi hiyo mikononi mwenu, na hakika wewe utawafukuzia mbali kutoka mbele yako.+
44 Na hatua kwa hatua akawapa nchi za mataifa,+Nao wakaendelea kumiliki kazi ngumu ya vikundi vya mataifa,+