Kumbukumbu la Torati 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Na itatukia kwamba Yehova Mungu wako atakapokuleta katika nchi ambayo aliwaapia mababu zako Abrahamu, Isaka na Yakobo, kwamba atakupa,+ majiji makubwa na yenye kupendeza ambayo wewe hukuyajenga,+ Yoshua 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wakaanza kula mazao ya nchi siku iliyofuata pasaka, keki zisizo na chachu+ na nafaka zilizochomwa, siku ileile. Zaburi 44:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wewe mwenyewe kwa mkono wako uliwafukuzia mbali mataifa,+Nawe ukawapanda hao badala yao.+Ukavunja vikundi vya mataifa na kuwafukuza.+
10 “Na itatukia kwamba Yehova Mungu wako atakapokuleta katika nchi ambayo aliwaapia mababu zako Abrahamu, Isaka na Yakobo, kwamba atakupa,+ majiji makubwa na yenye kupendeza ambayo wewe hukuyajenga,+
11 Nao wakaanza kula mazao ya nchi siku iliyofuata pasaka, keki zisizo na chachu+ na nafaka zilizochomwa, siku ileile.
2 Wewe mwenyewe kwa mkono wako uliwafukuzia mbali mataifa,+Nawe ukawapanda hao badala yao.+Ukavunja vikundi vya mataifa na kuwafukuza.+