Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ikawa kwamba walipokuwa wanakimbia kutoka mbele ya Israeli, wakiwa kwenye mteremko wa Beth-horoni, Yehova akawatupia mawe+ makubwa kutoka mbinguni mpaka Azeka, nao wakafa. Wale waliokufa kutokana na hayo mawe ya mvua walikuwa wengi kuliko wale ambao wana wa Israeli waliwaua kwa upanga.

  • Yoshua 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi nikapeleka hisia ya kuvunjika moyo mbele yenu, nayo mwishowe ikawafukuza mbele yenu+—wafalme wawili wa Waamori—haikuwa kwa upanga wenu wala kwa upinde wenu.+

  • Zaburi 135:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yeye aliyepiga mataifa mengi+

      Na kuua wafalme wenye nguvu,+

  • Zaburi 136:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yule anayepiga wafalme wakubwa:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki