Ayubu 38:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, umeingia katika maghala ya theluji,+Au, je, unayaona hata maghala ya mvua ya mawe,+ Zaburi 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na mbinguni Yehova akaanza kunguruma,+Na Aliye Juu Zaidi akaanza kutoa sauti yake,+Mvua ya mawe na makaa yanayowaka moto. Zaburi 148:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Enyi moto na mvua ya mawe, theluji na moshi mzito,+Enyi pepo zenye tufani, zinazotimiza neno lake,+ Isaya 30:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na Yehova hakika atafanya utukufu wa sauti+ yake usikiwe naye atafanya kushuka kwa mkono wake kuonekane,+ katika kuwaka kwa hasira+ na mwali wa moto unaoteketeza+ na tufani ya mvua na dhoruba ya mvua+ na mawe ya mvua.+
13 Na mbinguni Yehova akaanza kunguruma,+Na Aliye Juu Zaidi akaanza kutoa sauti yake,+Mvua ya mawe na makaa yanayowaka moto.
8 Enyi moto na mvua ya mawe, theluji na moshi mzito,+Enyi pepo zenye tufani, zinazotimiza neno lake,+
30 Na Yehova hakika atafanya utukufu wa sauti+ yake usikiwe naye atafanya kushuka kwa mkono wake kuonekane,+ katika kuwaka kwa hasira+ na mwali wa moto unaoteketeza+ na tufani ya mvua na dhoruba ya mvua+ na mawe ya mvua.+