Zaburi 29:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sauti ya Yehova iko juu ya maji;+Mungu mtukufu+ mwenyewe amenguruma.+Yehova yuko juu ya maji mengi.+ Ezekieli 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na sauti ya mabawa ya makerubi+ ikasikiwa katika ua wa nje, kama sauti ya Mungu Mweza-Yote wakati anaposema.+ Ufunuo 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na miguu yake ilikuwa kama shaba safi+ inapowaka katika tanuru; na sauti+ yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi.
3 Sauti ya Yehova iko juu ya maji;+Mungu mtukufu+ mwenyewe amenguruma.+Yehova yuko juu ya maji mengi.+
5 Na sauti ya mabawa ya makerubi+ ikasikiwa katika ua wa nje, kama sauti ya Mungu Mweza-Yote wakati anaposema.+
15 na miguu yake ilikuwa kama shaba safi+ inapowaka katika tanuru; na sauti+ yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi.