24 Nami nikasikia kishindo cha mabawa yao, kishindo kama kile cha maji mengi,+ kama kishindo cha Yule Mweza-Yote, walipoenda, kishindo cha fujo,+ kama kishindo cha kambi.+ Waliposimama tuli, walikuwa wakiyashusha chini mabawa yao.
22 Na sasa wale makerubi+ wakayainua mabawa yao, na yale magurudumu yalikuwa karibu nao,+ nao utukufu+ wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao, kutoka juu.+