Ezekieli 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Niliposikia sauti ya mabawa yao, ilikuwa kama sauti ya maji yenye kishindo, kama sauti ya Mweza-Yote.+ Waliposonga, ilikuwa kama sauti ya jeshi. Waliposimama tuli, waliyashusha mabawa yao.
24 Niliposikia sauti ya mabawa yao, ilikuwa kama sauti ya maji yenye kishindo, kama sauti ya Mweza-Yote.+ Waliposonga, ilikuwa kama sauti ya jeshi. Waliposimama tuli, waliyashusha mabawa yao.