Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 43:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na, tazama! utukufu+ wa Mungu wa Israeli ulikuwa ukija kutoka upande wa mashariki,+ nayo sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi;+ nayo dunia yenyewe ikang’aa kwa sababu ya utukufu wake.+

  • Ufunuo 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na miguu yake ilikuwa kama shaba safi+ inapowaka katika tanuru; na sauti+ yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi.

  • Ufunuo 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni kama sauti ya maji mengi+ na kama sauti ya ngurumo kubwa; na sauti niliyosikia ilikuwa kama ya waimbaji ambao wanafuatanisha sauti zao kwa kinubi+ wakivipiga vinubi vyao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki