2 Na, tazama! utukufu+ wa Mungu wa Israeli ulikuwa ukija kutoka upande wa mashariki,+ nayo sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi;+ nayo dunia yenyewe ikang’aa kwa sababu ya utukufu wake.+
2 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni kama sauti ya maji mengi+ na kama sauti ya ngurumo kubwa; na sauti niliyosikia ilikuwa kama ya waimbaji ambao wanafuatanisha sauti zao kwa kinubi+ wakivipiga vinubi vyao.