Isaya 60:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 “Simama,+ Ee mwanamke, toa nuru,+ kwa maana nuru yako imekuja+ na utukufu wa Yehova umeangaza juu yako.+ Ezekieli 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na utukufu wa Yehova+ ukainuka juu kutoka kwa makerubi mpaka kwenye mlango wa nyumba, nayo nyumba hiyo ikajaa wingu+ hatua kwa hatua, na ua wenyewe ulikuwa umejaa wangavu wa utukufu wa Yehova. Habakuki 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana dunia itajawa na kuujua utukufu wa Yehova kama maji yanavyoifunika bahari.+ Ufunuo 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na jiji lile halihitaji jua wala mwezi kuliangaza, kwa maana utukufu wa Mungu ulilitia nuru,+ na taa yake ilikuwa yule Mwana-Kondoo.+
60 “Simama,+ Ee mwanamke, toa nuru,+ kwa maana nuru yako imekuja+ na utukufu wa Yehova umeangaza juu yako.+
4 Na utukufu wa Yehova+ ukainuka juu kutoka kwa makerubi mpaka kwenye mlango wa nyumba, nayo nyumba hiyo ikajaa wingu+ hatua kwa hatua, na ua wenyewe ulikuwa umejaa wangavu wa utukufu wa Yehova.
23 Na jiji lile halihitaji jua wala mwezi kuliangaza, kwa maana utukufu wa Mungu ulilitia nuru,+ na taa yake ilikuwa yule Mwana-Kondoo.+