19 Kwa maana kwako wewe jua halitakuwa tena nuru wakati wa mchana, na mwezi hautakupa tena mwangaza kuwa nuru. Na Yehova atakuwa kwako nuru+ inayodumu mpaka wakati usio na kipimo, na Mungu wako kuwa urembo wako.+
2 Na kwenu ninyi mnaoliogopa jina langu, jua la uadilifu litaangaza,+ likiwa na kiponyaji katika mabawa yake;+ nanyi mtatoka nje na kuukanyaga udongo kama ndama waliononeshwa.”+
5 Pia, usiku hautakuwapo tena,+ na hawana uhitaji wa nuru ya taa wala hawana nuru ya jua, kwa sababu Yehova Mungu ataangaza nuru+ yake juu yao, nao watatawala wakiwa wafalme milele na milele.+