Isaya 49:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 kuwaambia wafungwa,+ ‘Tokeni nje!’+ kuwaambia wale walio gizani,+ ‘Jifunueni!’+ Watalisha kando ya njia, na malisho yao yatakuwa kwenye mapito yote yaliyokanyagwa.+
9 kuwaambia wafungwa,+ ‘Tokeni nje!’+ kuwaambia wale walio gizani,+ ‘Jifunueni!’+ Watalisha kando ya njia, na malisho yao yatakuwa kwenye mapito yote yaliyokanyagwa.+