Zaburi 112:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ameangaza katika giza kama nuru kwa walio wanyoofu.+ ח [Chehth]Yeye ni mwenye neema na mwenye rehema na mwadilifu.+ Isaya 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Watu waliokuwa wakitembea katika giza wameona nuru kuu.+ Kwa habari ya wale wanaokaa katika nchi yenye kivuli kizito,+ nuru imewaangazia.+ Luka 1:79 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 79 kuwapa nuru wale wanaokaa katika giza na katika kivuli+ cha kifo, kuelekeza kwa mafanikio miguu yetu katika njia ya amani.”
4 Ameangaza katika giza kama nuru kwa walio wanyoofu.+ ח [Chehth]Yeye ni mwenye neema na mwenye rehema na mwadilifu.+
2 Watu waliokuwa wakitembea katika giza wameona nuru kuu.+ Kwa habari ya wale wanaokaa katika nchi yenye kivuli kizito,+ nuru imewaangazia.+
79 kuwapa nuru wale wanaokaa katika giza na katika kivuli+ cha kifo, kuelekeza kwa mafanikio miguu yetu katika njia ya amani.”