Mathayo 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 watu wanaokaa katika giza+ waliona nuru kuu,+ na kwa habari ya wale wanaokaa katika eneo la kivuli cha kifo, nuru+ iliwazukia.”+ Luka 1:79 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 79 kuwapa nuru wale wanaokaa katika giza na katika kivuli+ cha kifo, kuelekeza kwa mafanikio miguu yetu katika njia ya amani.” Luka 2:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 nuru+ ya kuondoa utaji+ kwa mataifa+ na utukufu wa watu wako Israeli.” Yohana 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nuru+ ya kweli ambayo humpa nuru+ mtu wa kila namna,+ ilikuwa karibu kuja ulimwenguni. Yohana 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo Yesu akawaambia tena, akisema: “Mimi ndiye nuru+ ya ulimwengu. Yule anayenifuata hatatembea kamwe katika giza,+ bali atakuwa na nuru ya uzima.”
16 watu wanaokaa katika giza+ waliona nuru kuu,+ na kwa habari ya wale wanaokaa katika eneo la kivuli cha kifo, nuru+ iliwazukia.”+
79 kuwapa nuru wale wanaokaa katika giza na katika kivuli+ cha kifo, kuelekeza kwa mafanikio miguu yetu katika njia ya amani.”
12 Kwa hiyo Yesu akawaambia tena, akisema: “Mimi ndiye nuru+ ya ulimwengu. Yule anayenifuata hatatembea kamwe katika giza,+ bali atakuwa na nuru ya uzima.”