Mathayo 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 watu wanaokaa katika giza+ waliona nuru kuu,+ na kwa habari ya wale wanaokaa katika eneo la kivuli cha kifo, nuru+ iliwazukia.”+ Yohana 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi huu ndio msingi wa hukumu, kwamba nuru+ imekuja ulimwenguni+ lakini watu wamelipenda giza kuliko nuru,+ kwa maana matendo yao yalikuwa maovu. 1 Yohana 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Tena, ninawaandikia ninyi amri mpya, uhakika ambao ni wa kweli kumhusu yeye na kuwahusu ninyi, kwa sababu giza+ linapitilia mbali na nuru+ ya kweli tayari inaangaza.
16 watu wanaokaa katika giza+ waliona nuru kuu,+ na kwa habari ya wale wanaokaa katika eneo la kivuli cha kifo, nuru+ iliwazukia.”+
19 Basi huu ndio msingi wa hukumu, kwamba nuru+ imekuja ulimwenguni+ lakini watu wamelipenda giza kuliko nuru,+ kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.
8 Tena, ninawaandikia ninyi amri mpya, uhakika ambao ni wa kweli kumhusu yeye na kuwahusu ninyi, kwa sababu giza+ linapitilia mbali na nuru+ ya kweli tayari inaangaza.