Waroma 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Usiku umesonga sana; mchana+ umekaribia. Kwa hiyo na tuyaondoe matendo ya giza+ na tuvae silaha+ za nuru. 1 Wathesalonike 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 kwa maana ninyi nyote ni wana wa nuru+ na wana wa mchana.+ Sisi si wa usiku wala si wa giza.+
12 Usiku umesonga sana; mchana+ umekaribia. Kwa hiyo na tuyaondoe matendo ya giza+ na tuvae silaha+ za nuru.