2 Wakorintho 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 kwa kusema maneno ya kweli, kwa nguvu za Mungu;+ kupitia silaha+ za uadilifu upande wa mkono wa kuume na wa kushoto, Waefeso 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Vaeni mavazi kamili ya silaha+ kutoka kwa Mungu ili mweze kusimama imara kupinga hila+ za Ibilisi; 1 Wathesalonike 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini kwa habari yetu sisi tulio wa mchana, na tutunze akili zetu na kuvaa bamba la kifuani+ la imani+ na upendo na lile tumaini la wokovu+ kama kofia ya chuma;+
7 kwa kusema maneno ya kweli, kwa nguvu za Mungu;+ kupitia silaha+ za uadilifu upande wa mkono wa kuume na wa kushoto,
11 Vaeni mavazi kamili ya silaha+ kutoka kwa Mungu ili mweze kusimama imara kupinga hila+ za Ibilisi;
8 Lakini kwa habari yetu sisi tulio wa mchana, na tutunze akili zetu na kuvaa bamba la kifuani+ la imani+ na upendo na lile tumaini la wokovu+ kama kofia ya chuma;+