Luka 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo Ibilisi, akiisha kumaliza majaribu yote, akamwacha mpaka wakati mwingine unaofaa.+ 2 Wakorintho 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana sisi tunapindua mawazo na kila jambo lililo juu sana ambalo limeinuliwa kinyume cha ujuzi wa Mungu;+ nasi tunaiteka kila fikira ili kuifanya imtii Kristo;
5 Kwa maana sisi tunapindua mawazo na kila jambo lililo juu sana ambalo limeinuliwa kinyume cha ujuzi wa Mungu;+ nasi tunaiteka kila fikira ili kuifanya imtii Kristo;